Kila mtu anazungumzia hili la wasanii wa kibongo kuvaa "hovyo"! Jamani jirekebisheni basi kwani hampendezi kabisa...acheni kuiga..
Irene kweli? Ulitaka kuwa nani? Kuiga kwingine bwana...
Mainda tena jamani hivi hatuangalii TV na kusoma magazeti au kuingia mitandaoni na kuona wacheza movie wa nje wanavaa vipi?
No comments:
Post a Comment