Pale ambapo watu wanashindwa kupata huduma yoyote ya kiafya nchini mwetu...Raisi Jakaya Kikwete yupo nchini Marekani kutibia...sawa hatukatai kuwa ni raisi na ana uweo wa kufanya chochote atakacho!! But safari zake pekee za kila mwaka zisizo na msingi zinagharimu mabilioni ya fedha...wakati wagonjwa /wananchi watanzania wanashindwa kupatiwa hata aspirini kutoka mahospitalini....
Sunday, November 9, 2014
TUTAFIKA TUUU!!!!!
Pale ambapo watu wanashindwa kupata huduma yoyote ya kiafya nchini mwetu...Raisi Jakaya Kikwete yupo nchini Marekani kutibia...sawa hatukatai kuwa ni raisi na ana uweo wa kufanya chochote atakacho!! But safari zake pekee za kila mwaka zisizo na msingi zinagharimu mabilioni ya fedha...wakati wagonjwa /wananchi watanzania wanashindwa kupatiwa hata aspirini kutoka mahospitalini....
Saturday, November 8, 2014
SITTI MTEMVU...KABWAGA MAJANGA
Nadhani ni uamuzi mzuri alioufanya lakini mpaka kachokonolewa kwa maneno ndo akaamua...kuachia ngazi!! Dada mwili si wa kimiss...uso umemkomaa halafu anasema eti ni miaka 18!!!! So yamedhaandikwa mengi na wengi...kwa kuwa ni mtoto wa kigogo ndo uwe miss uchakachuaji wa kila kitu...nomaaaaaaaaaa!!!
Subscribe to:
Posts (Atom)