Nadhani ni uamuzi mzuri alioufanya lakini mpaka kachokonolewa kwa maneno ndo akaamua...kuachia ngazi!! Dada mwili si wa kimiss...uso umemkomaa halafu anasema eti ni miaka 18!!!! So yamedhaandikwa mengi na wengi...kwa kuwa ni mtoto wa kigogo ndo uwe miss uchakachuaji wa kila kitu...nomaaaaaaaaaa!!!
No comments:
Post a Comment