Tunaanza na dada Linda Bezuidenhout mtanzania mbaye anaishi US, ni designer na mmiliki wa LindaBezuidenhoutApparel. Kusema kweli dada huyu anahitaji pongezi...kwa kazi anazozifanya...
![]() | |
Linda akiwa ktk vazi ambalo amedisign mwenyewe |
![]() |
Akiwa na mwanae... |
![]() |
Designer Linda akiwa models wake.... |
No comments:
Post a Comment