Wednesday, November 7, 2012

FASHION KIBONGO BONGO

Jamani kuiga sana nako si kuzuri..mtu unaiga mpaka unaonekana kichekesho! Hivi kwanini watu tunafikiria kuwa kuonyesha maungo(kuvaa half naked) ni kupendeza? Au kujikandika vipodozi usoni ni kupendeza. mhh... check out hawa "mafashonista" wa kibongo bongo.

















Sauda Mwilima umekuwa kwenye TV kwa muda mrefu sana...nadhani ungekuwa tayari umejifunza mengi. Why unajikandika vipodozi hivyo? Yaani uso na huo mkorogo umeiwa hii ni aibu!!!





















Hawa nao wakavaa sare nadhani ilikuwa kikazi zaidi haa! Hayo malemba na  pamoja na hayo mapambo ya kichwani  wanachekesha kuwema kweli!






















Mambo ya kuonyesha vivazi vya ndani tu!! kweli BONGO TAMBARARE!





















Ama kweli nilidhani kuwa tuna mitandao ambayo inaweza kutuhabarisha mambo ya urembo kwa wale wanaopenda urembo! Haswa kujua tuvae nini na wakati gani lakini hii tena mhhh! FASHION NYINGINE ZITUPITE!!! Kwani aibu tu!

No comments:

Post a Comment