Saturday, June 9, 2012

MUASISI WA CHADEMA BOB MAKANI AAGA DUNIA




Aliyekuwa Mshauri wa CHADEMA na mmoja wa Waasisi wa chama hicho Jaji Bob Makani Amefariki dunia hivi Leo, tarehe 09/06/2012, Mauti yamemfika Bob katika hospitali ya Agha Khan alipokuwa anapewa Matibabu.Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.

Source: JAMII FORUM

No comments:

Post a Comment