Friday, May 4, 2012

KWELI ANA MENGI YA KUJIFUNZA



Hivi SHY ROSE alishindwa kutengeneza keki isiyo na rangi zinazohusiana na chama chake? Wakati anajua kabisa anakwenda shrehekea na watu wanaotofautiana kiitikadi. Pichani Mbunge wa CHADEMA Halima Mdee akiikataa keki hiyo...
Picha na Mroki Mroki

1 comment:

  1. Huyu naye inabidi aambiwe kila kitu.I hope ataacha utoto kutokana na ubunge aliohonga ili ashinde!

    ReplyDelete