Wednesday, May 30, 2012

Liberia's Charles Taylor jailed for 50 years over 'heinous and brutal crimes'



 
THE HAGUE -- Judges at the international war crimes court sentenced former Liberian President Charles Taylor to 50 years in prison on Wednesday, saying he was responsible for "some of the most heinous and brutal crimes recorded in human history."
He had been convicted of supporting rebels in Sierra Leone who murdered and mutilated thousands during their country's brutal civil war in return for blood diamond.

The Special Court for Sierra Leone found Taylor guilty last month on 11 charges of aiding and abetting the rebels who went on a bloody rampage during the decade-long war that ended in 2002 with more than 50,000 dead. Presiding Judge Richard Lussick says the crimes Taylor was convicted of were of the "utmost gravity in terms of scale and brutality."
http://worldnews.msnbc.msn.com/_news/2012/05/30/11952336-liberias-charles-taylor-jailed-for-50-years-over-heinous-and-brutal-crimes?lite

Sunday, May 27, 2012

BURUDANI YA LEO-ZILIPENDWA LOI






ZANZIBAR NINI TENA?

Sheikh Farid Hadi Ahmed akiongoza maandamano "ya amani".

Kikosi cha kutuliza fujo (FFU) kikiwa tayari kuwadhibiti waandamanaji ambao wanadaiwa kuandamana bila ya kibali



Kanisa ambalo linadaiwa kuchomwa na wazanzibar waliofanya maandamano.
Maelfu ya wazanzibariwamefanya maandamano amani kuishindikiza Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuitisha kura ya maoni juu ya Muungano na kupeleka ujumbe kwa Umoja wa Mataifa wa kutaka Zanzibar kujitenga kama ilivyofanya Sudan ya Kusini.
Wazanzibari hao wakiongozwa na Sheikh Farid Hadi Ahmed walitembea kutoka viwanja vya Lumumba na kupitia barabara ya Kinazini, Mpigaduri, Michenzani Maskani ya CCM Kisonge, kwa Biziredi na kurudi tena viwanja vya Lumumba.
Maandamano hayo walioyaita matembezi ya amani yalifanyika na kuhudhuriwa na maelfu ya wazanzibari ambapo awali kuliandaliwa kongamano kubwa lililoandaliwa na Taasisi za Kiislamu kwa kushirikiana na Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) kwa lengo la kuzungumzia mfumo wa elimu Zanzibar.
SOMA ZAIDI:

Saturday, May 26, 2012

MKOROGO-WABUNGE EDITION

Kusema kweli siwezi kunyamaza kwa hili; watanzania tumezidi kusifiana kwa ujinga. Utaona mtu amechubua ngozi yake halafu watu wanamwambia umependeza! acheni unafiki! Na sasa hata wasomi nao wanachubua ngozi tena basi na kuwaambia wengine mnaweza kupata "huu mkorogo" sehemu fulani. Sasa leo tuangalie hawa wabunge wetu ambao ndio wanatuwakilisha bungeni. Sura na ngozi zao zimechubuliwa mpaka wanaonekana kichekesho. Sielewi nani ambaye anawaambia kuwa wanapendeza. Acheni kabisa nyie ni kioo cha jamii. Mnaonyesha mfano gani kwa vizazi vyenu?

 Mariam Kasembe   BEFORE MKOROGO
                            

AFTER MKOROGO




Josephine Genzabuke

















Diana Chilolo


Mb.Diana Chilolo









Munde Tambwe







Mb.Esther Minza




Mb. Mary Chatanda