Wednesday, May 30, 2012
Liberia's Charles Taylor jailed for 50 years over 'heinous and brutal crimes'
THE HAGUE -- Judges at the international war crimes court sentenced former Liberian President Charles Taylor to 50 years in prison on Wednesday, saying he was responsible for "some of the most heinous and brutal crimes recorded in human history."
He had been convicted of supporting rebels in Sierra Leone who murdered and mutilated thousands during their country's brutal civil war in return for blood diamond.
The Special Court for Sierra Leone found Taylor guilty last month on 11 charges of aiding and abetting the rebels who went on a bloody rampage during the decade-long war that ended in 2002 with more than 50,000 dead. Presiding Judge Richard Lussick says the crimes Taylor was convicted of were of the "utmost gravity in terms of scale and brutality."
http://worldnews.msnbc.msn.com/_news/2012/05/30/11952336-liberias-charles-taylor-jailed-for-50-years-over-heinous-and-brutal-crimes?lite
Monday, May 28, 2012
Sunday, May 27, 2012
ZANZIBAR NINI TENA?
![]() |
Sheikh Farid Hadi Ahmed akiongoza maandamano "ya amani". |
![]() |
Kikosi cha kutuliza fujo (FFU) kikiwa tayari kuwadhibiti waandamanaji ambao wanadaiwa kuandamana bila ya kibali |
![]() |
Kanisa ambalo linadaiwa kuchomwa na wazanzibar waliofanya maandamano. |
Maelfu ya wazanzibariwamefanya maandamano amani kuishindikiza Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar kuitisha kura ya maoni juu ya Muungano na kupeleka ujumbe kwa
Umoja wa Mataifa wa kutaka Zanzibar kujitenga kama ilivyofanya Sudan ya
Kusini.
Wazanzibari hao
wakiongozwa na Sheikh Farid Hadi Ahmed walitembea kutoka viwanja vya
Lumumba na kupitia barabara ya Kinazini, Mpigaduri, Michenzani Maskani
ya CCM Kisonge, kwa Biziredi na kurudi tena viwanja vya Lumumba.
Maandamano hayo
walioyaita matembezi ya amani yalifanyika na kuhudhuriwa na maelfu ya
wazanzibari ambapo awali kuliandaliwa kongamano kubwa lililoandaliwa na
Taasisi za Kiislamu kwa kushirikiana na Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara
ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) kwa lengo la kuzungumzia mfumo wa elimu
Zanzibar.
SOMA ZAIDI:
Saturday, May 26, 2012
MKOROGO-WABUNGE EDITION
Kusema kweli siwezi kunyamaza kwa hili; watanzania tumezidi kusifiana kwa ujinga. Utaona mtu amechubua ngozi yake halafu watu wanamwambia umependeza! acheni unafiki! Na sasa hata wasomi nao wanachubua ngozi tena basi na kuwaambia wengine mnaweza kupata "huu mkorogo" sehemu fulani. Sasa leo tuangalie hawa wabunge wetu ambao ndio wanatuwakilisha bungeni. Sura na ngozi zao zimechubuliwa mpaka wanaonekana kichekesho. Sielewi nani ambaye anawaambia kuwa wanapendeza. Acheni kabisa nyie ni kioo cha jamii. Mnaonyesha mfano gani kwa vizazi vyenu?
Mariam Kasembe BEFORE MKOROGO
Mariam Kasembe BEFORE MKOROGO
![]() |
![]() |
AFTER MKOROGO |
![]() |
Josephine Genzabuke |
Diana Chilolo |
Mb.Diana Chilolo |
Munde Tambwe |
Mb.Esther Minza |
Mb. Mary Chatanda |
Subscribe to:
Posts (Atom)