Kila April 26 ya mwaka tunasherehekea Muungano wa Tanganyika na Zanzibar chini ya hayati JK Nyerere na Abeid Aman Karume. Hivi bado tunauhitaji au ndo wakati umefika wa kuuachia? Wenzetu wazanzibari wanalia kila siku eti wanataka kuwa huru kutoka kwa "wadanganyika" wanavyodai kuwa wananyanyasika sana! Mhh mie sielewi wananyanyasika kivipi. Is it economically, socially or politically? Na kwanini sie watu wa bara tunang'ang'ania muungano? Kuna kitu chochote cha muhimu huko visiwani ambacho tunategemea sana kiasi ambacho tukivunja muungano tutaathirika? Mimi sioni manyanyaso yoyote tunayowapa wazanzibari kama wanavyodai wao. Ninachoona ni faida kubwa tu wanapata kupitia bara.
Thursday, April 26, 2012
KUNA UMUHIMU WOWOTE WA MUUNGANO?
Kila April 26 ya mwaka tunasherehekea Muungano wa Tanganyika na Zanzibar chini ya hayati JK Nyerere na Abeid Aman Karume. Hivi bado tunauhitaji au ndo wakati umefika wa kuuachia? Wenzetu wazanzibari wanalia kila siku eti wanataka kuwa huru kutoka kwa "wadanganyika" wanavyodai kuwa wananyanyasika sana! Mhh mie sielewi wananyanyasika kivipi. Is it economically, socially or politically? Na kwanini sie watu wa bara tunang'ang'ania muungano? Kuna kitu chochote cha muhimu huko visiwani ambacho tunategemea sana kiasi ambacho tukivunja muungano tutaathirika? Mimi sioni manyanyaso yoyote tunayowapa wazanzibari kama wanavyodai wao. Ninachoona ni faida kubwa tu wanapata kupitia bara.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment