Friday, September 30, 2011

WETU ANAWEZA KUFANYA HIVI???

 Ona Mrs.Obama; mke wa nchi yenye nguvu kuliko zote duniani alivyo "simple"! Nampenda sana huyu mama yaani hana makuu kabisa, sio kama wake wa viongozi wa nchi za kiafrika. Nazungumzia zaidi Tanzania yetu...je mke wa raisi au raisi mweyewe anaweza kwenda "shopping" Kimya kimya kama hivi au kuingia duka ambalo watu wa kawaida nao wanapata huduma? Tena basi bila hata kujulikana.....

















Hapa akiwa akiwa amemaliza "shopping" yake na anarudisha shopping cart bila ya kuwa na wasaidizi....Ingekuwa wa kwetu angefuatana na watu lukuki..Mhh tena angesafiri basi hadi US au UK kufanya shopping...na kufuja mali za umma.

No comments:

Post a Comment