
SEMA SIKIKA
WELCOME/KARIBU to my blog. It is all about Social,Politics and Entertainment.
Tuesday, January 10, 2017
MWANA MPOTEVU
Wow it has been a while since I posted something in my blog! I know I' ve been through a lot to mention a few; mtandao uligoma😊! But now I promise that I will try to post at least twice a week. Na nitakuwa nikileta mambo mazuri zaidi kama ya afya especially ya kupunguza unene, mapishi na fashions.
NAKARIBISHA PIA MAONI PAMOJA NA STORY MBALIMBALI
KARIBUNI SANA!!!!
NAKARIBISHA PIA MAONI PAMOJA NA STORY MBALIMBALI
KARIBUNI SANA!!!!
Sunday, November 9, 2014
TUTAFIKA TUUU!!!!!
Pale ambapo watu wanashindwa kupata huduma yoyote ya kiafya nchini mwetu...Raisi Jakaya Kikwete yupo nchini Marekani kutibia...sawa hatukatai kuwa ni raisi na ana uweo wa kufanya chochote atakacho!! But safari zake pekee za kila mwaka zisizo na msingi zinagharimu mabilioni ya fedha...wakati wagonjwa /wananchi watanzania wanashindwa kupatiwa hata aspirini kutoka mahospitalini....
Saturday, November 8, 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)