Thursday, April 26, 2012

Charles Taylor guilty of aiding S. Leone war crimes






Liberian ex-leader Charles Taylor was convicted Thursday of arming rebels during Sierra Leone's civil war in return for blood diamonds, in an historic verdict for international justice.
In the first judgement against a former head of state by a world court since the World War II Nuremberg trials, Taylor was found guilty of 11 counts of war crimes and crimes against humanity by the Special Court for Sierra Leone.
"The trial chamber finds you guilty of aiding and abetting of all these crimes," said presiding judge Richard Lussick.
"The chamber finds beyond reasonable doubt that the accused is criminally responsible... for aiding and abetting in the commission of crimes one to 11 in the indictment," Lussick said at the court, based just outside The Hague.
Dressed in a dark suit, white shirt and red tie, the former president stood motionless as the verdict was read and showed no emotion afterwards.
He will be sentenced by the same court on May 30.
If sentenced to jail, Taylor will be held in a British prison.

Read more here:

Friday, April 20, 2012

RAIS ANAPOKWENDA BRAZIL KUKUTANA NA KOCHA...

Rais na mkewe wakisalimiana na  na Maximo kocha wa zamani wa timu ya taifa.
Alikuwa kapumzika kidogo tu baada ya misiba ya hapa na pale sasa huyo ameanza tena!! Kutumia fedha za wananchi kwenda nje na anachokifanya huko cha maana hakuna. Raisi wa nchi anatoka kwenda nje kukutana na kocha wa zamani wa timu ya taifa?? Au anawatanguliza waandishi wa habari (watu wake) Brazil na hao ndo waompokea huko kweli? Je hao waandishi wote wamelipiwa na makampuni yao au ni nani aliyewalipia? Ohhh nilisahau kuwa wengi wao ni wa magazeti ya serikali kwa hiyo ni pesa za serikali.



Rais akisalimiana na waandishi wa habari aliowatanguliza Brazil...


 Bado sijaelewa kama ilikuwa kuna umuhimu wowote wa kwenda Brazili na kukutana na kocha wa zamani wa timu ya taifa. Na kama kuna umuhimu raisi sio kazi yake ya kwenda nje na kutafuta kocha wa timu za Tanzania. Yeye ana majukumu nyeti sana sana kuliko ya kuwa kiguu na njia kila kukicha...Tumechoka na safari zake zisizo na mpango kwa taifa..Ana wawakilishi kila nchi kwanini asiwapeleke hao? Raisi sio lazima aende kila mahali au kila shughuli wakati ana watu wa ngazi za chini ambao wanaweza kumwakilisha yeye. Kama sivyo basi hakuna haja ya kuwa na mabalozi, mawaziri lukuki nk.

Tuesday, April 17, 2012

The Secret Service Prostitution Scandal Just Keeps Getting Bigger



 

 A preliminary investigation into the night of alleged debauchery involving members of President Obama's advance security team in Colombia has revealed that additional military personnel may have been involved in the prostitution scandal, Pentagon officials said Monday. 
The U.S. Southern Command initially reported that five members of the U.S. special forces had participated in the partying, but preliminary reviews of hotel security tapes indicate that the number was likely much higher. A senior defense official told the AP that "at least 10 military members may have been involved." 
Defense Secretary Leon Panetta said Monday that the agency is conducting a "full investigation" into the incident," and emphasized that he expects a strong response. 

Read more:http://articles.businessinsider.com/2012-04-16/politics/31348807_1_security-team-colombia-has-president-obama

BURUDANI-BIBI NAYE


Naona huyu bibi mwimbaji wa bongo flava alitaka aonekane kama kijana wa kisasa; akaamua kuweka haya mavazi. Waliomshauri hawakumshauri vizuri....

WAUAWA KWA IMANI ZA KISHIRIKINA

Wakazi wawili wa kijiji cha Kibande wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, Zegeli Shumba (60) na mkewe Bi. Helena Zengeli(58), waliuawa na kundi la watu wenye hasira kwa kupigwa mawe na miili yao kuchomwa moto kutokana na imani za kishirikina.
 
Kamanda Kashai amesema siku ya tukio hilo juzi majira ya saa 2.00 usiku kundi la wananchi wa kijiji hicho waliwavamia marehemu hao kwa kuwashambulia hadi kuwaua baada ya kutuhumiwa kuwa walikuwa wakijihusisha na vitendo vya kichawi.
 
Amesema kuwa hivi karibuni kulikua na binti mmoja kijiji hapo (hakumtaja jina) ambaye alipotea kwa njia za kutatanisha na marehemu hao walidai kuwa wangefanya maarifa ya kiganga kumrejesha lakini hadi wanauawa walikuwa hawajamrejesha jambo lililoibua hasira kwa wakazi hao